<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<rss version="2.0">
<channel>
<title>Shwari dot com</title>
<description>Habari za Shwari</description>
<link>http://www.Shwari.com/</link>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1328332705</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1328332705</guid>
<title>MTIHANI WA MAWAKALA WA WACHEZAJI</title>
<description><![CDATA[Mtihani wa uwakala wa wachezaji (players agent) wa <br />
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) utafanyika <br />
Alhamisi ya Machi 29 mwaka huu saa 10 kamili asubuhi kwenye <br />
ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF).<br />
Kutakuwa na jumla ya maswali 20 kwenye mtihani huo, 15 <br />
yanatoka FIFA kuhusiana na kanuni za kimataifa za mpira wa <br />
miguu na matano yatatoka TFF kuhusiana na kanuni mbalimbali <br />
zinazotawala mchezo huo nchini.<br />
Kwa ambao wangependa kufanya mtihani huo utakaokuwa katika <br />
lugha ya Kiingereza wanatakiwa kujisajili TFF kwa ada ya <br />
dola 50 za Marekani ambapo watapewa utaratibu na maeneo <br />
ambapo mtihani huo unalenga. Muda wa kufanya mtihani <br />
hautazidi dakika 90.<br />
Mtihani uliopita ulifanyika Septemba 29 mwaka jana ambapo <br />
watahiniwa wanane walijitokeza na kufanya mtihano huo.<br />
Mpaka sasa Tanzania ina mawakala saba wa wachezaji <br />
wanaotambuliwa na FIFA. Mawakala hao ni Ally Mleh wa <br />
Manyara Sports Management, Damas Ndumbaro, John Ndumbaro, <br />
Mehdi Remtulla, Ally Saleh, Yusuf Bakhresa na Said Tully.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1328332659</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1328332659</guid>
<title>RAUNDI YA 16 LIGI KUU YA VODACOM</title>
<description><![CDATA[Mzunguko wa 16 wa Ligi Kuu ya Vodacom kuwania ubingwa wa <br />
Tanzania Bara unaanza kesho (Februari 4 mwaka huu) kwa <br />
mechi tatu. Coastal Union itakuwa mgeni wa Moro United <br />
kwenye Uwanja wa Azam ulioko Chamazi, Dar es Salaam.<br />
Nayo Villa Squad itakuwa mwenyeji wa Simba kwenye Uwanja wa <br />
Taifa, Dar es Salaam wakati Ruvu Shooting na Polisi Dodoma <br />
zitaoneshana kazi kwenye Uwanja wa Mabatini ulioko Mlandizi <br />
mkoani Pwani.<br />
Viingilio kwa mechi ya Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam <br />
vitakuwa sh. 3,000 kwa viti vya bluu na kijani, sh. 5,000 <br />
kwa viti vya rangi ya chungwa, sh. 10,000 kwa VIP B na C, <br />
sh. 15,000 kwa VIP A wakati Uwanja wa Chamazi ni sh. 10,000 <br />
kwa Jukwaa Kuu na sh. 3,000 mzunguko. Kwa mechi ya Mlandizi <br />
kiingilio ni sh. 2,000 kwa mzunguko wakati Jukwaa Kuu <br />
itakuwa sh. 5,000.<br />
Pia Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limefanya <br />
mabadiliko ya muda wa kuanza mechi za ligi hiyo kwa kituo <br />
cha Dar es Salaam. Mechi zinazochezwa wikiendi kwenye <br />
Uwanja wa Taifa zitaaza saa 10 kamili jioni wakati zile <br />
zinazochezwa siku za kazi zitaanza saa 10.30 jioni. Mechi <br />
zote za Uwanja wa Azam- Chamazi zitaanza saa 10 kamili <br />
jioni.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1328332620</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1328332620</guid>
<title>MZUNGUKO WA PILI LIGI DARAJA LA KWANZA (FDL)</title>
<description><![CDATA[Mzunguko wa pili (second leg) wa Ligi Daraja la Kwanza <br />
(FDL) inayochezwa katika makundi matatu tofauti unaanza <br />
kesho (Februari 4 mwaka huu) kwa mechi sita.<br />
Katika kundi A, Morani FC itakuwa mwenyeji wa Burkina Faso <br />
ya Morogoro katika mchezo utakaochezwa Kiteto mkoani <br />
Manyara. Kwa upande wa kundi B timu zote sita zitakuwa <br />
uwanjani.<br />
Small Kids ya Rukwa itacheza na Polisi ya Iringa kwenye <br />
Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro, Mbeya City na Tanzania <br />
Prisons zitaumana kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine <br />
jijini Mbeya na Majimaji na Mlale JKT watapepetana katika <br />
Uwanja wa Majimaji mjini Songea.<br />
Kundi C litaanza kwa mechi mbili ambapo AFC ya Arusha <br />
watakuwa wageni wa Manyoni mkoani Singida na Rhino na <br />
Polisi Tabora zitakwaruzana kwenye Uwanja wa Ali Hassan <br />
Mwinyi mjini Tabora.<br />
Mechi nyingine ya kundi hilo itakuwa kati ya 94 KJ na <br />
Polisi Morogoro ambayo itachezwa keshokutwa (Februari 5 <br />
mwaka huu) kwenye Uwanja wa Mabatini ulioko Mlandizi mkoani <br />
Pwani.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1328332551</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1328332551</guid>
<title>SIMBA, OLJORO JKT ZAINGIZA MIL 40</title>
<description><![CDATA[Pambano la Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Simba na Oljoro JKT <br />
lililochezwa Februari Mosi mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar <br />
es Salaam limeingiza sh. 40,191,000.<br />
Jumla ya watazamaji waliokata tiketi kushuhudia mechi hiyo <br />
namba 105 kwa kiingilio cha sh. 3,000, sh. 5,000, sh. <br />
10,000 na sh. 15,000 kwa VIP A walikuwa 11,860.<br />
Baada ya kuondoa gharama za awali za mchezo na asilimia 18 <br />
ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kila timu ilipata sh. <br />
7,023,171, uwanja sh. 2,341,057, Chama cha Mpira wa Miguu <br />
Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) sh. 936,423, TFF sh. <br />
2,341,057, Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu (FDF) sh. <br />
1,170,528 na Baraza la Michezo la Taifa (BMT) sh. 234,106.<br />
Nayo mechi namba 104 kati ya African Lyon na Polisi Dodoma <br />
iliyochezwa Februari Mosi mwaka huu kwenye Uwanja wa Azam <br />
ulioko Chamazi, Dar es Salaam imeingiza sh. 45,000 kutokana <br />
na watazamaji 15 waliokata tiketi kushuhudia pambano hilo.<br />
Baada ya kuondoa asilimia 18 ya VAT ambayo ni sh. 6,864.41 <br />
kila timu ilipata sh. 2,591, Uwanja sh. 514, TFF sh. 514, <br />
DRFA sh. 205, FDF sh. 257 na BMT sh. 51.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1328332419</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1328332419</guid>
<title>KLABU YA SIMBA YAJINOA KUIVAA VILLA SQUAD</title>
<description><![CDATA[MAANDALIZI kwa ajili ya pambano la Ligi Kuu ya Vodacom kati <br />
ya Simba na Villa Squad yamekamilika. Kikosi kamili cha Simba <br />
kimeingia kambini katika hoteli ya Lamada jijini Dar es <br />
Salaam jana na wachezaji wako katika hali nzuri.<br />
<br />
Mchezaji pekee aliye majeruhi bado ni Ulimboka Alfred <br />
Mwakingwe lakini Felix Mumba Sunzu ameanza mazoezi baada ya <br />
kupona maumivu ya kifundo cha mguu.<br />
<br />
Juma Said Nyoso amemaliza kutumikia adhabu ya kukosa mechi <br />
moja kutokana na kuwa na kadi tatu za njano. Nyoso alitumikia <br />
adhabu hiyo katika mechi ya ligi iliyopita dhidi ya Oljoro <br />
JKT.<br />
<br />
Hivyo Nyoso na Sunzu wako tayari kuikabili Villa Squad na ni <br />
maamuzi ya kocha Milovan Cirkovic ndiyo yatakayoamua iwapo <br />
watacheza au la.<br />
<br />
MAHUDHURIO VIWANJANI <br />
<br />
Uongozi wa Simba SC unapenda kuwaomba wapenzi na wanachama <br />
wake kujitokeza kwa wingi kesho katika pambano lake dhidi ya <br />
Villa Squad kwa lengo la kuongeza hamasa kwa wachezaji.<br />
<br />
Washabiki wanaokuja uwanjani pia wanakuwa na faida ya <br />
kufahamu mambo kwa kujionea wenyewe uwanjani na si kupata <br />
taarifa za pembeni ambazo wakati mwingine huwa za kupotosha.<br />
Klabu ya Simba inafikiria utaratibu wa kutoa zawadi za kila <br />
mwezi kwa shabiki au washabiki ambao huwa hawakosi kwenda <br />
viwanjani kila Simba inapocheza mechi.<br />
<br />
Kifo cha Mapande<br />
<br />
Mwenyekiti wa Simba, Mhe; Ismail Aden Rage (Mb), anasikitika <br />
kutangaza kifo cha Mzee Hamisi Mapande aliyefariki dunia <br />
jijini Dar es Salaam jana.<br />
<br />
Mzee Mapande aliwahi kuwa Katibu Msaidizi wa Simba katika <br />
miaka ya 1980 na 1990 na ni mmoja kati ya viongozi waliokuwa <br />
wakiheshimika sana klabuni.<br />
<br />
Mazishi yanafanyika leo mchana hapahapa Dar es Salaam.<br />
<br />
Mwamuzi Isihaka Shirikisho<br />
<br />
Klabu ya Simba leo imepeleka rasmi malalamiko yake kwa <br />
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuhusu mwamuzi <br />
Isihaka Shirikisho aliyechezesha mechi baina ya Simba na JKT <br />
Oljoro mnamo Februari 1, 2012.<br />
<br />
Katika malalamiko yake hayo, kiujumla Simba imeeleza <br />
kusikitishwa na uchezeshaji wa mwamuzi huyo na pia imeomba <br />
kufutwa kwa adhabu ya kadi nyekundu iliyotolewa kwa mchezaji <br />
wake Haruna Moshi ‘Boban’.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1327328218</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1327328218</guid>
<title>WABUNGE WAJITOLEA KUICHANGIA TWIGA STARS</title>
<description><![CDATA[Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia <br />
timu ya Bunge wameomba kucheza mechi maalumu dhidi ya Twiga <br />
Stars kabla ya kuwasilisha mchango wao kwa timu hiyo.<br />
<br />
Benchi la Ufundi la Twiga Stars kupitia Shirikisho la Mpira <br />
wa Miguu Tanzania (TFF) limekubali kucheza mechi hiyo <br />
ambayo itakuwa ni ya maonesho tu ambapo baada ya kumalizika <br />
ndipo Wabunge watakabidhi kile walichopanga kutoa kwa timu.<br />
<br />
Mechi hiyo itafanyika Alhamisi (Januari 26 mwaka huu) <br />
kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume uliopo Ofisi za TFF <br />
kuanzia saa 10 kamili jioni.<br />
<br />
Twiga Stars na Namibia zitapambana Jumapili (Januari 29 <br />
mwaka huu) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ikiwa ni <br />
mechi ya marudiano kuwania tiketi ya kufuzu kwa fainali za <br />
Afrika kwa Wanawake (AWC) zitakazofanyika Novemba mwaka huu <br />
nchini Equatorial Guinea.<br />
<br />
GHARAMA ZA UWANJA- TWIGA STARS VS NAMIBIA<br />
TFF imeiandikia Serikali kupitia Wizara ya Habari, Vijana, <br />
Utamaduni na Michezo kuomba iondoe gharama za kutumia <br />
Uwanja wa Taifa ambazo ni fixed kwenye mechi kati ya Twiga <br />
Stars na Namibia.<br />
<br />
Lengo la maombi hayo ni kusaidia kupunguza gharama za <br />
kuandaa mechi hiyo ambayo bajeti nzima ni sh . 74,660,000. <br />
Hiyo inajumuisha usafiri, posho kwa wachezaji, posho kwa <br />
benchi la ufundi, gharama za kambi, dawa na maji ya kunywa <br />
wakati wa mazoezi na mechi kwa Twiga Stars. Maeneo mengine <br />
ni usafiri wa ndege, usafiri wa ndani (magari mawili), <br />
posho na hoteli kwa kamishna na waamuzi.<br />
<br />
Nyingine ni gharama za timu ya Namibia itakayokuwa na watu <br />
25 ambazo ni usafiri wa ndani (magari matatu), hoteli <br />
(malazi na chakula) na maji ya kunywa wakati wa mazoezi na <br />
mechi.<br />
<br />
Gharama ambazo ni fixed kwa matumizi ya Uwanja wa Taifa ni <br />
pamoja na usafi na ulinzi, umeme, maandalizi ya sehemu ya <br />
kuchezea, malipo kwa kampuni ya Wachina na asilimia kumi ya <br />
mapato.<br />
<br />
Boniface Wambura<br />
Ofisa Habari<br />
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1326236237</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1326236237</guid>
<title>Kenya to host 2013 Cecafa Challenge Cup, gets 50 million Kshs from FIFA for artificial turf</title>
<description><![CDATA[Fifa has allocated Kshs50m for the installation of an <br />
artificial turf at Kisumu stadium while Kenya’s Ministry of <br />
Sports is expected to add Kshs45m according to the <br />
president of Kenya’s football federation Sam Nyamweya.<br />
<br />
 <br />
<br />
Nyamweya added that the architectural design and works by <br />
Fifa goal project consultant Cyrille Betemps is expected to <br />
start soon and should be complete by the time the <br />
tournament kicks-off in November.<br />
<br />
 <br />
<br />
Last year, Milutin Micho Sredojevic’s wasps came very close <br />
to lifting a second title only to lose out on penalties (2-<br />
3) against the Uganda Cranes.<br />
<br />
 <br />
<br />
The teams drew 2-all in normal time after a brace from <br />
Meddie Kagere.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1319546956</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1319546956</guid>
<title>WAAMUZI MECHI YA YANGA, SIMBA WATAJWA</title>
<description><![CDATA[Mwamuzi wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu <br />
(FIFA), Oden Mbaga kutoka Dar es Salaam ndiye <br />
atakayechezesha mechi namba 78 ya Ligi Kuu ya Vodacom kati <br />
ya Yanga na Simba itakayofanyika Oktoba 29 mwaka huu Uwanja <br />
wa Taifa, Dar es Salaam.<br />
<br />
Waamuzi wasaidizi katika mechi hiyo ambao wote <br />
wanatambuliwa na FIFA ni Hamis Chang’walu wa Dar es Salaam <br />
ambaye atakuwa namba moja, na John Kanyenye (Mbeya) <br />
atakayekuwa namba mbili.<br />
<br />
Mtathimini wa waamuzi (referee assessor) atakuwa Soud Abdi <br />
kutoka Arusha wakati kamishna wa mchezo huo ni Mohamed <br />
Nyange kutoka Dodoma.<br />
<br />
VIINGILIO PAMBANO LA OKTOBA 29<br />
Viingilio vya pambano la Yanga na Simba litakalofanyika <br />
Oktoba 29 mwaka huu Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kuwania <br />
ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom vitakuwa kama ifuatavyo;<br />
<br />
Viti vya kijani na bluu kiingilio kitakuwa sh. 5,000, viti <br />
vya rangi ya chungwa ni sh. 7,000, VIP C sh. 10,000, VIP B <br />
ni sh. 15,000 wakati VIP A itakuwa sh. 20,000.<br />
<br />
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepanga kuuza <br />
tiketi hizo siku moja kabla ya mchezo na siku yenyewe ya <br />
mechi katika maeneo ambayo yatatangazwa baadaye.<br />
<br />
MECHI YA KAGERA SUGAR v COASTAL<br />
Mechi namba 89 ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Kagera Sugar <br />
na Coastal Union iliyopangwa kufanyika Novemba 2 mwaka <br />
Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba imesogezwa mbele kwa siku <br />
moja.<br />
<br />
Uamuzi wa kusogeza mechi hiyo hadi Novemba 3 mwaka huu <br />
umetokana na wamiliki wa Uwanja wa Kaitaba kuruhusu utumike <br />
kwa sherehe za Mwenge wa Uhuru. <br />
<br />
Boniface WamburaOfisa Habari<br />
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1319546826</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1319546826</guid>
<title>NI WAKATI MZURI KWA MASHABIKI WA SIMBA</title>
<description><![CDATA[Na Ezekiel Kamwaga<br />
<br />
NIANZE na masuala ya ndani ya uwanja.<br />
<br />
Mpaka naandika makala hii, Simba inaongoza Ligi Kuu ya <br />
Tanzania ikiwa na pointi 27 baada ya kucheza mechi 11. <br />
Imefunga mabao mengi (18) kuliko timu zote zinazoshiriki <br />
katika ligi hiyo na imefungwa machache (4) kuliko timu <br />
nyingine zote ukiondoa Azam FC.<br />
<br />
Ina wastani mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa (14) na <br />
idadi nzuri ya wachezaji waliofunga mabao kwenye mechi za <br />
ligi.<br />
<br />
Kwa kawaida, timu inayochukua ubingwa ni ile ambayo <br />
haitegemei mtu mmoja kufunga. Unahitaji kuwa na wachezaji <br />
takribani watatu wanaopachika mabao ili uwe na uhakika wa <br />
kutwaa ubingwa.<br />
<br />
Simba ina wachezaji wanne katika orodha ya wafungaji <br />
wanaoongoza kumi katika ligi hii. Kuna Emmanuel Okwi, <br />
Patrick Mafisango, Felix Sunzu na Gervais Kago. <br />
<br />
Ni sawa tu na Barcelona ambayo baada ya mechi nane za La <br />
Liga, ina wachezaji wanne katika orodha ya wafungaji <br />
wanaoongoza Hispania; Messi, Fabregas, Villa na Xavi.<br />
<br />
Katika ligi yetu, kuna timu ambazo (ambayo?) mchezaji mmoja <br />
amefunga zaidi ya nusu ya magoli ambayo timu yake imefunga <br />
hadi sasa. Kama Simba ingekuwa hivyo, ingekuwa haiongozi <br />
ligi hivi sasa!<br />
<br />
Simba pia kwa sasa ina kikosi bora zaidi cha vijana wa <br />
chini ya miaka 20 katika timu zote zinazoshiriki Ligi Kuu. <br />
Humo ndipo wachezaji kama Frank ‘Nteze John’ Sekule, <br />
Abdallah Seseme, Hassan Khatib, Ramadhan Salum na Ramadhani <br />
Singano (Messi) wanapopikwa.<br />
<br />
Hawa wanatengenezwa na gwiji wa zamani wa Simba, Selemani <br />
‘Veron’ Matola akishirikiana na Amri ‘Stam’ Said. Lakini <br />
pia kuna kikosi cha vijana wa chini ya miaka 17 na kile cha <br />
chini ya miaka 14 kinachofundishwa na Maka Malwisi.<br />
<br />
Bila shaka, Simba ndiyo timu pekee hapa Tanzania yenye timu <br />
zisizo za ubabaishaji za vijana. Hii ina maana kuwa katika <br />
kipindi kifupi kijacho, ‘Lunyasi’ itakuwa ikitengeneza <br />
wachezaji wake wenyewe. Kama Barcelona.<br />
<br />
Klabu zote kubwa duniani hujitambulisha kwa falsafa fulani. <br />
Simba inajulikana kuwa falsafa yake ni mpira wa chini, <br />
wenye pasi na ufundi mkubwa. Ndiyo maana, wengi wa <br />
washabiki wa Simba hupenda pia mpira wa Barcelona. Ni kwa <br />
sababu ya falsafa tu.<br />
<br />
Katika mazoezi ya timu zetu za vijana, akina Matola na Maka <br />
husimamisha mpira wakati mchezaji anapobutua mpira mbele. <br />
Hiyo si falsafa ya Simba. Sisi tunacheza mpira na <br />
hatubutui. Vijana hawa wakiwa wakubwa, watajua wanachezea <br />
timu gani. Wanajengwa wangali vijana kuwa kuchezea Simba ni <br />
pamoja na kuijua falsafa yake.<br />
<br />
Twende nje ya uwanja sasa.<br />
<br />
Kubwa kuliko yote katika eneo hili ni umoja na mshikamano <br />
uliopo ndani ya klabu kwa sasa. Hakuna tena masuala ya <br />
mapinduzi, migogoro na rabsha ambazo zilizoeleka sana <br />
katika miaka ya nyuma.<br />
<br />
Amani na utulivu uliopo umewezesha timu kuendeshwa kisasa <br />
zaidi na Simba sasa pengine ni miongoni mwa klabu chache <br />
katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati ambazo walau <br />
zinaendeshwa katika mfumo wa kisasa.<br />
<br />
Mchakato wa ujenzi wa uwanja wa kisasa katika eneo la Bunju <br />
jijini Dar es Salaam umeanza. Simba itakuwa na uwanja wake <br />
yenyewe kwa ajili ya mechi na mazoezi.<br />
<br />
Kama mipango yote itakwenda kama ilivyopangwa, inshallah, <br />
Simba inaweza kuwa klabu ya kwanza katika ukanda wa Afrika <br />
Mashariki kuwa na uwanja wake wenye uwezo wa kubeba watu <br />
takribani 30,000.<br />
<br />
Uwanja huo utakuwa miongoni mwa vyanzo vikubwa vya mapato <br />
kwa klabu. La kufahamu ni kuwa, mchakato wa kujenga uwanja <br />
ni suala lenye kuhitaji subra ya hali ya juu.<br />
<br />
Simba pia imeingia katika mkakati kabambe wa kuongeza idadi <br />
ya wanachama wake. Katika kipindi cha miezi sita iliyopita, <br />
maelfu ya washabiki wa klabu wamefikiwa katika juhudi za <br />
kutaka kuongeza wanachama.<br />
<br />
Matawi mapya yamefunguliwa. Kupitia kauli mbiu ya mwaka huu <br />
ya Siku ya Simba (Simba Day) iliyosema; Simba ni Matawi, <br />
Simba ni Wanachama, idadi ya wanachama wapya imeongezeka na <br />
wengi wanazidi na kutaka kujiunga.<br />
<br />
Klabu kuwa na wanachama wengi ni suala la siha. Klabu kama <br />
Real Madrid ya Hispania (nasikia ipo ya Mbezi kwa Musuguri) <br />
ina nguvu kubwa kwa sababu ya kuwa na wanachama wengi.<br />
<br />
Ada ya mwaka kwa mwanachama mmoja wa Simba ni Sh 12,000. <br />
Kama timu ikiwa na wanachama milioni moja tu ( Lunyasi ina <br />
wapenzi zaidi ya milioni 10!), klabu ina uwezo wa kukusanya <br />
kiasi cha Sh bilioni moja kwa mwezi. Hii maana yake ni Sh <br />
bilioni 12 kwa mwaka mmoja tu.<br />
<br />
Fedha hizi ni mara kumi ya zile zinazotolewa na wadhamini <br />
wa Ligi Kuu ya Tanzania (Vodacom) kwa timu zote <br />
zinazoshiriki ligi hiyo kwa mwaka mzima.<br />
<br />
Fedha hizo zinamaanisha Simba itakuwa na uwezo wa kumaliza <br />
ujenzi wa uwanja wake kwa kasi, kusajili wachezaji wa <br />
kiwango cha juu, kuongeza thamani yake kwa wadhamini na <br />
kushindana katika hadhi ya kimataifa.<br />
<br />
Ndiyo maana, ni jambo la kheri kuwa idadi ya wanachama <br />
inaongezeka kila kukicha. Chini ya uongozi huu wa Mhe: <br />
Ismail Aden Rage (Mb) na Geofrey Irick Nyange ‘Kaburu’, <br />
suala la kuongeza idadi ya wanachama ni kipaumbele.<br />
<br />
Si kitu ambacho wengi wanakifahamu lakini Simba iko mbioni <br />
kuanzisha kituo chake cha televisheni (Simba TV). Katika <br />
muda si mrefu ujao, Simba itakuwa na kituo chake chenyewe <br />
cha runinga, gazeti, jarida na tovuti ya klabu imeanza <br />
tayari ingawa bado inakabiliwa na changamoto mbalimbali.<br />
<br />
Kama mipango yote hiyo ya vyombo vya habari ikikamilika <br />
kama ilivyopangwa, klabu itazidi kupiga hatua kubwa. <br />
Wapenzi, wanachama, wadhamini na wadau wengine watapata <br />
fursa ya kupata habari zote za klabu na kubadilishana <br />
taarifa kila wakati. Hili ni jambo muhimu sana katika <br />
maendeleo ya klabu.<br />
Zaidi ya kuwa vyanzo vya habari za klabu –televisheni, <br />
radio, tovuti na gazeti vinaweza kuwa vyanzo vizuri vya <br />
mapato. Hivyo mipango hii inamaanisha kuwa wakati wapenzi <br />
wakiwa wanapata taarifa, klabu pia itakuwa inaongeza mapato <br />
yake.<br />
<br />
Klabu ya Simba pia sasa inafanya kazi kwa karibu na kampuni <br />
ya Push Mobile. Kupitia ushirikiano huu, wapenzi takribani <br />
34,000 wa Simba wanapata taarifa za kila siku za klabu <br />
kupitia simu zao za mkononi.<br />
<br />
Simba ilikuwa klabu ya kwanza Afrika Mashariki kuwa na <br />
utaratibu. Ni utaratibu ambao unahakikisha wapenzi hao <br />
wanapata taarifa kabla ya wananchi wengine kuhusu klabu <br />
yao, lakini umesaidia pia kuongeza mapato ya klabu.<br />
<br />
Changamoto ziko nyingi na kadri tuendavyo mbele, kuna <br />
changamoto zaidi zitakuja. Lakini jambo moja la msingi ni <br />
kuwa Simba inaanza kwenda mbele kwa kasi sana. Na mwendo <br />
huo unahusisha masuala ya nje na ndani ya uwanja. <br />
<br />
Siku moja, miaka mingi ijayo –watu watazungumzia kipindi <br />
hiki kuwa ndipo haswa Simba ilipoanza harakati za kufika <br />
pale itakapokuwa wakati huo.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1318182103</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1318182103</guid>
<title>KOMBE LA MWAKALEBELA KUANZA IRINGA MJINI</title>
<description><![CDATA[KADA wa chama cha mapinduzi (CCM) wilaya ya Iringa mjini na <br />
aliyekuwa mshindi wa kura za maoni katika mchakato wa <br />
kumsaka mgombea ubunge kupitia CCM jimbo la Iringa mjini <br />
Frederick Mwakalebela amekusudia kuanzisha mashindano ya <br />
kombe la Mwakalebela kwa ajili ya kuhamasisha michezo na <br />
kuwaunganisha vijana wa jimbo la Iringa mjini.<br />
Mwakalebela ambaye pia katibu mstaafu wa shirikisho la <br />
mpira wa miguu nchini (TFF) aliueleza mtandao huu leo <br />
wakati akituma salam za pongezi kwa madiwani wateule wa CCM <br />
kata ya Kitanzini na Gangilonga katika jimbo la Iringa <br />
mjini.<br />
Alisema kuwa pamoja na mashindano hayo kulenga kuhamasisha <br />
uhai wa michezo katika jimbo la Iringa mjini na kuwaandaa <br />
vijana kimichezo zaidi ila pia kuanzishwa kwa mashindano <br />
hayo kutasaidia kuwaweka vijana katika kundi moja tofauti <br />
na ilivyo sasa ambapo vijana wamegawanywa na itikadi za <br />
vyama vya siasa.<br />
Mwakalebela alisema kuwa mashindano haya yatashirikisha <br />
timu za vijana kutoka kata zote za Manispaa ya Iringa na <br />
kuwaomba viongozi wa soka katika manispaa ya Iringa <br />
kushiriki katika mchakato huo wa kuandaa mashindano ya <br />
kuhamasisha soka katika Manispaa ya Iringa.<br />
Hata hivyo alisema kuwa tayari amekwisha fanya mazungumzo <br />
na meneja wa uwanja wa Samora Lazaro Ng'amilo juu ya <br />
mashindano hayo kutumia uwanja huo wa samora kuanzia mwezi <br />
Desemba.<br />
Mwenyekiti wa chama cha mpira wa miguu Manispaa ya Iringa <br />
(IMDFA) Ramadhan Mahano pamoja na kumpongeza Mwakalebela <br />
kwa kuwa na wazo hilo la kuhamasisha michezo katika wilaya <br />
hiyo bado alisema kuwa mashindano hayo yataongeza hamasa ya <br />
michezo mjini Iringa.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1318133693</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1318133693</guid>
<title>STARS YAWASILI MARRAKECH, HENRY KUONGOZA KIKOSI</title>
<description><![CDATA[Taifa Stars imewasili salama hapa Marrakech, Morocco tayari <br />
kwa mechi dhidi ya wenyeji Morocco itakayochezwa kesho <br />
(Oktoba 9 mwaka huu) saa 1.30 usiku kwa saa za hapa. Kuna <br />
tofauti ya saa 3 kati ya hapa na Tanzania, hivyo kwa saa za <br />
nyumbani mechi itakuwa saa 4.30 usiku. Timu ilitua <br />
Casablanca saa 9.30 ikitokea Doha, Qatar ambapo ililala <br />
juzi Alhamisi kabla ya kuanza safari ya Casablanca saa 3 <br />
asubuhi.<br />
<br />
Kutoka Casablanca hadi Marrakech ambapo ni umbali wa <br />
kilometa 230, wenyeji Morocco waliisafirisha Stars kwa basi <br />
ambao ni mwendo wa saa tatu hadi kufika hapa. Baada ya <br />
kuwasili na kuingia hotelini, timu ilifanya mazoezi jana <br />
jioni, na leo usiku (kwa muda ule ule wa mechi) itafanya <br />
mazoezi kwenye uwanja utakaotumika kwa mechi (the Great <br />
Stadium). Kocha Jan Poulsen leo amemtaja kiungo Henry <br />
Joseph kuwa kapteni kwenye mechi hiyo itakayochezwa kwenye <br />
uwanja wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 43,000.<br />
<br />
Mitaani hapa Marrakech mashabiki wa Morocco wamekuwa <br />
wakiizungumzia mechi hiyo, na wana imani kuwa timu yao <br />
itaibuka na ushindi, hivyo kufuzu kwa ajili ya fainali za <br />
AFCON zitakazochezwa mwakani katika nchi za Equatorial <br />
Guinea na Gabon. Morali kwa upande wa wachezaji wa Stars <br />
iko juu, na hadi sasa hakuna majeruhi kwa wachezaji wote 20 <br />
waliokuja na Stars hapa kupeperusha bendera ya Tanzania.<br />
Hapa napatikana kwa namba +212 61 8185749<br />
<br />
Boniface Wambura<br />
Ofisa Habari<br />
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)<br />
Marrakech, Morocco]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1308143468</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1308143468</guid>
<title>POULSEN NA MAKOCHA WENGINE 32 KUKUTANA DAR JUNI 20</title>
<description><![CDATA[TAARIFA kutoka Boniface Wambura Ofisa habari wa TFF <br />
alizozitoa kwa vyombo vya habari asubuhi hii zinadai kuwa <br />
Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Jan Poulsen pamoja na Mkurugenzi <br />
wa Ufundi wa<br />
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Sunday Kayuni <br />
watakutana na makocha<br />
32 wa klabu za Ligi Kuu na Daraja la Kwanza. Mkutano huo <br />
utafanyika Juni 20<br />
mwaka huu Ofisi za TFF kuanzia saa 3 asubuhi.<br />
<br />
Pamoja na mambo mengine, mkutano huo ni maalumu kwa Poulsen <br />
kueleza falsafa yake<br />
ya ufundishaji, tathmini ya Ligi Kuu ya Vodacom <br />
iliyomalizika Aprili mwaka huu,<br />
kutoa leseni za daraja A za ukocha za TFF kwa makocha <br />
husika na kubadilishana<br />
uzoefu.<br />
<br />
Makocha husika wanatakiwa kugharamiwa na klabu zao kwa <br />
ajili ya kushiriki<br />
mkutano huo muhimu. TFF itagharamia chai na chakula cha <br />
mchana pekee. Klabu za<br />
Ligi Kuu ni African Lyon, Azam, Coastal Union, JKT Ruvu, <br />
Kagera Sugar, Moro<br />
United, Mtibwa Sugar, Oljoro JKT, Polisi Tanzania, Ruvu <br />
Shooting, Simba, Toto<br />
Africans, Villa Squad na Yanga.<br />
<br />
U 23 v NIGERIA OLIMPIKI<br />
Timu ya Taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 23 ambayo <br />
Jumamosi (Juni 18 mwaka<br />
huu) itacheza ugenini na Nigeria katika mechi ya marudiano <br />
ya mchujo kwa ajili<br />
ya Michezo ya Olimpiki itakayofanyika mwakani London, <br />
Uingereza itaagwa kesho.<br />
<br />
U 23 itaagwa saa 7 mchana kambini F&amp;J Hotel iliyoko <br />
Mikocheni, Dar es Salaam.<br />
Mechi dhidi ya Nigeria itachezwa Uwanja wa Samuel Obgemudia <br />
ulioko Benin City,<br />
ambapo ni kilometa 320 kutoka Jiji la Lagos.<br />
<br />
Waamuzi wa mechi hiyo ambao wote wanatoka Senegal ni <br />
Ousmane Fall (mwamuzi wa<br />
kati), Maguette Ndiaye, Cheikh Toure na mwamuzi wa akiba <br />
Daouda Gueye. Kamishna<br />
ni Emmanuel Zombre kutoka Burkina Faso.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1305486364</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1305486364</guid>
<title>ROBO FAINALI KILI TAIFA CUP VITUO VYAPANGWA....</title>
<description><![CDATA[Hatua ya robo fainali ya Kili Taifa Cup inaanza Mei 22 <br />
mwaka huu Uwanja wa<br />
Kumbukumbu ya Sheikh Amri Abeid jijini Arusha. Robo fainali <br />
zitachezwa mechi<br />
mbili kwa siku. Ya kwanza saa 8.00 mchana na ya pili saa <br />
10.00 jioni.<br />
<br />
<br />
Mei 22 mechi ya kwanza ni Singida (Kindai Shooting Stars) <br />
na Ilala. Mechi ya<br />
pili ni Mwanza (Mwanza Heroes) na Arusha (Mount Meru <br />
Warriors). Mei 23 mechi ya<br />
kwanza ni Mbeya na Ruvuma (Ruvuma Warriors) wakati ya pili <br />
ni timu ya Taifa<br />
chini ya umri wa miaka 23 (U23) na Kagera (Lweru Eagles).<br />
<br />
Nusu fainali ya kwanza itakayohusisha washindi wa robo <br />
fainali za Mei 22<br />
itachezwa Mei 24. Ya pili itachezwa Mei 25 wakati Mei 26 <br />
itakuwa mapumziko.<br />
Mechi ya mshindi wa tatu itakuwa Mei 27 na fainali <br />
itachezwa Mei 28.<br />
<br />
Waamuzi watakaochezesha hatua hiyo ambao wote wana beji za <br />
Shirikisho la<br />
Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) ni Israel Mujuni, Judith <br />
Gamba na Oden Mbaga.<br />
Waamuzi wasaidizi ni Samwel Mpenzu, Hamis Chan’gwalu, Saada <br />
Tibabimale, Zahra<br />
Hussein, John Kanyenye na Erasmus Jesse.<br />
<br />
Makamishna wa mechi ni Hakim Byemba na Mrisho Bukuku wakati <br />
mtathmini wa marefa<br />
(referee assessor) ni Charles Mchau. Msimamizi wa fainali <br />
hizo ni Khalifa Mgonja<br />
ambaye pia ni mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la <br />
Mpira wa Miguu<br />
Tanzania (TFF).<br />
<br />
MALALAMIKO KILI ATAIFA CUP<br />
Kamati ya Mashindano ya TFF iliyokutana leo (Mei 15 mwaka <br />
huu) ilipitia taarifa<br />
za michuano hiyo hatua ya makundi ikiwemo malalamiko ya <br />
timu za Mara na Dodoma<br />
ambazo zililalamikia usajili wa mchezaji mmoja katika timu <br />
za Kigoma na Kagera.<br />
Kamati haikusikiliza malalamiko hayo kwa vile <br />
yaliwasilishwa nje ya muda wa<br />
pingamizi.<br />
<br />
Boniface Wambura<br />
Ofisa Habari TFFTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1299510967</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1299510967</guid>
<title>Mapato Simba na Yanga - TFF</title>
<description><![CDATA[Taarifa toka TFF]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1298593474</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1298593474</guid>
<title>TASWA YAMPONGEZA TENGA</title>
<description><![CDATA[CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), <br />
kinatoa pongezi kwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania <br />
(TFF), Leodeger Tenga kuchaguliwa Mjumbe wa Kamati ya <br />
Utendaji ya CAF baada ya kumshinda Celestine Musabiyima wa <br />
Rwanda aliyekuwa akitetea nafasi hiyo uchaguzi uliofanyika <br />
Khartoum, Sudan. <br />
TASWA inaungana na wadau wa soka pamoja na wapenda michezo <br />
wengine wote Tanzania kumtakia kila la kheri Tenga, ambaye <br />
pia ni Rais wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na <br />
Kati (CECAFA) katika wadhifa wake huo mpya, huku tukiamini <br />
utakuwa na manufaa kwa soka letu na ukanda huu kwa ujumla.<br />
Licha ya kumpongeza, lakini tunampa changamoto aelewe <br />
kwamba kutekeleza na kutelekeza ni maneno mawili <br />
yanayoshabihiana katika kuyatamka na usipokuwa makini <br />
yanaweza kukuchanganya na kukupoteza kabisa.<br />
Lakini haya ni maneno yenye maana tofauti, ambazo moja ni <br />
kama chanya na nyingine hasi. Neno kutekeleza maana yake <br />
kwa tafsiri rahisi ni kufanya, wakati kutelekeza maana yake <br />
ni kutofanya, kuacha au kupuuzia.<br />
TASWA inaamini Tenga atatekeleza mambo mbalimbali, ambayo <br />
yalimsukuma kuwania wadhifa huo na hatayatelekeza.<br />
Kama ataona kuna mambo magumu asiwe mvivu wa kuomba ushauri <br />
kwa Mtanzania mwingine aliyepata kushika wadhifa huo, Said <br />
Hamad El Maamry ambaye aliwahi kushinda nafasi hiyo <br />
mwanzoni mwa miaka ya 80 kwa vipindi viwili mfululizo. <br />
Ahsante,<br />
Amir Mhando<br />
Katibu Mkuu TASWA<br />
25/02/2011 <br />
TANZANIA SPORTS WRITERS ASSOCIATION (TASWA)<br />
Affiliated to International Sports Press Association (AIPS) <br />
&amp; Tanzania Olympic Committee (TOC)<br />
Chairman: J.Pinto <br />
Vice Chairman: M. Kitenge<br />
Secretary: A. Mhando<br />
Asst. Secretary: G. John<br />
Treasurer: S. Sikilo <br />
Asst. Treasurer: M. Mkangara<br />
<br />
P.O. Box 77474<br />
Tel: 0713-415346<br />
E-mail: mgosius@yahoo.com<br />
Dar es Salaam<br />
TANZANIA]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1296830400</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1296830400</guid>
<title>Wigan 1 - 0 Liverpool</title>
<description><![CDATA[Wigan 1 - 0 Liverpool]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1295100279</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1295100279</guid>
<title>MVUA YAIKWAMISHA TAIFA STARS KUCHEZA NA SUDANI</title>
<description><![CDATA[MVUA kubwa iliyokuwa ikinyesha bali ni manyunyu, lakini <br />
hali hiyo ilisababisha mchezo kati ya Taifa Stars na Sudani <br />
uliokuwa ufanyike jana ukwame.<br />
<br />
<br />
Taifa Stars na Sudani zilitarajiwa kuumana kwenye mchezo wa <br />
kutafuta mshindi wa tano katika michuano ya soka nchi za <br />
Bonde la Mto Nile.<br />
<br />
<br />
Hata hivyo eneo ambalo uwanja wa Polisi uliokuwa utumike <br />
kwenye mchezo huo lipo lina mazingira ya maji, hivyo muda <br />
mfupi manyunyu hayo yaliponyesha palijaa maji, hivyo <br />
kuonekana pasingefaa kuchezewa.<br />
<br />
<br />
<br />
Baadaye Chama cha Soka cha Misri kilitoa taarifa fupi <br />
kwamba kingefanya mkutano na waandishi wa habari <br />
kuzungumzia suala hilo baada ya mchezo wa nusu fainali ya <br />
kwanza kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na <br />
Uganda unaotarajiwa kufanyika saa 11 kwa saa za Afrika <br />
Mashariki.<br />
<br />
<br />
<br />
Akizungumza baada ya tukio hilo, Ofisa wa Shirikisho la <br />
Soka Tanzania (TFF), aliyeambatana na timu mjini hapa, Idd <br />
Mshangama alisema watasikiliza wenyeji wao watakavayoamua <br />
kuhusiana na suala hilo.<br />
<br />
<br />
<br />
Licha ya kuonekaba kwamba ni mvua ndogo, lakini <br />
ilisababisha baridi kali na anga ilikuwa imetanda mawingu <br />
mazito kuashiria mvua kubwa ilikiuwa inatarajiwa <br />
kunyesha.Mechi nyingine za nusu fainali jana licha ya DRC <br />
na Uganda, ilikuwa kati ya Misri na Kenya ambazo zote <br />
zilitarajiwa kufanyika Uwanja wa petro Jet. Fainali itakuwa <br />
Jumatatu.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1295066180</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1295066180</guid>
<title>LeBron sees ‘karma’ in Cavaliers’ 55-point loss</title>
<description><![CDATA[Cleveland. LeBron James  has tweaked Dan Gilbert—and the <br />
Cavaliers owner’s miserable NBA team—with a pointed tweet.<br />
<br />
As James’ former teammates were absorbing a 55-point loss <br />
to the Los Angeles Lakers on Tuesday, the player fired off <br />
a message on his Twitter account that seemed to be directed <br />
at Gilbert. To wish bad on anybody. God sees everything!”<br />
<br />
“It was just how I was feeling at the time,” James said on <br />
Wednesday before the Miami Heat played the Los Angeles <br />
Clippers. <br />
“It wasn’t even a comment from me, it was someone who sent <br />
it to me and I sent it out.”<br />
<br />
In July, after James announced he was leaving for Miami, <br />
Gilbert wrote a scathing letter to Cleveland fans <br />
questioning the two-time MVP’s character and predicting he <br />
would take Cleveland’s curse with him “down south. … James <br />
will unfortunately own this dreaded spell and bad karma.”<br />
<br />
The 112-57 loss to the Lakers was the Cavs’ 11th straight <br />
and their most lopsided since joining the league in 1970.<br />
<br />
“It wasn’t towards that team,” James said, without ever <br />
mentioning the Cavs by name. “It definitely wasn’t a good <br />
showing by that team last night, I know they wish they <br />
would have played better, but nothing towards them.” After <br />
the game, Cavs guard Mo Williams  tweeted: “embarrassing, I <br />
feel like I can’t even show my face in Cleve.”<br />
<br />
James and Gilbert have been at odds since the summer, when <br />
the superstar decided to join forces in Miami with fellow <br />
superstars Dwyane Wade and Chris Bosh. In an interview with <br />
The Associated Press in the hours after James’ announcement <br />
during an hour-long TV special, Gilbert accused James of <br />
quitting in the playoffs the past two seasons.<br />
<br />
 And while both insist they’ve moved on, James’ tweet seems <br />
to show he has lingering bitterness toward Gilbert.(AFP)]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1294283454</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1294283454</guid>
<title>MISRI YAANZA KUIWEKA PABAYA CECAFA</title>
<description><![CDATA[Na Mwandishi Maalum, Cairo<br />
<br />
MISRI imesema itafurahi endapo litaanzishwa Shirikisho la <br />
Soka kwa Nchi za Bonde la Mto Nile.<br />
<br />
Kutokana na hali hiyo ipo katika mazungumzo na nchi ambazo <br />
bonde hilo lipo, ili kuzishawishi lianzishwe shirikisho <br />
hilo ambalo Misri inaamini litakuwa kitovu cha vipaji vya <br />
soka Afrika.<br />
<br />
Akizungumza jana mjini hapa, Rais wa Chama cha Soka cha <br />
Misri (EFA), Samir Zahir alisema kama nchi zote <br />
zitakubaliana kuanzisha shirikisho hilo itakuwa hatua moja <br />
kubwa ambayo imepigwa kwa maendeleo ya soka Afrika.<br />
<br />
Hata hivyo EFA inaona ugumu ulio mbele juu ya kuanzishwa <br />
kwa shirikisho hilo kwa vile baadhi ya nchi tayari zipo <br />
katika vyama mbambalimbai vinavyosimamia soka kwa kanda <br />
zao.<br />
<br />
Alisema zaidi ya nusu ya nchi zinazoshiriki mashindano hayo <br />
ya Bonde la Mto Nile yaliyoanza jana jijini hapa ni <br />
wanachama wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na <br />
Kati (CECAFA), ukiacha Misri na Jamhuri ya Kidemokrasia ya <br />
Congo (DRC), ambayo ni mwalikwa katika michuano hiyo.<br />
<br />
Nchi zinashiriki michuano hiyo ambazo ni wanachama wa <br />
CECAFA ni Tanzania, Kenya, Uganda, Sudani na Burundi na <br />
zimekuwa zikishiriki mashindano yanayoandaliwa na baraza <br />
hilo karibu kila mwaka.<br />
<br />
&quot;Tumepeana changamoto ya namna bora ya kuanzisha shirikisho <br />
letu, uwezo wa kufanya hivyo tunao maana dhamira yetu ni <br />
kuendeleza soka,&quot; alisema.<br />
<br />
Nchi nyingine wanachama wa CECAFA ambazo hazijashiriki <br />
michuano ya Mto Nile ni Ethiopia, Eritrea, Djbouti, Rwanda <br />
na Somalia.<br />
<br />
Misri imegharamia usafiri wa kuja Misri na kurudi nyumbani <br />
kwa kila timu pamoja na posho za wachezaji na waamuzi, <br />
zawadi mbalimbali kwa washindi.Bingwa wa michuano hiyo <br />
atazawadiwa zaidi ya sh. milioni 200 za Tanzania.<br />
<br />
Bingwa wa michuano ya Chalenji inayoandaliwa na CECAFA na <br />
kushirikisha nchi 12 alizawadiwa dola za Marekani 30,000 <br />
ambazo ni karibu sh. milioni 43 za Tanzania.<br />
<br />
Wakati huohuo, Rais huyo wa EFA, alieleza kuwa michuano yao <br />
ni maalum kuhamasisha soka na haihusiani na masuala ya <br />
kisiasa na kwamba mambo yanayohusiana na siasa ni jukumu la <br />
wahusika wenyewe.<br />
<br />
&quot;Kwangu mimi ukiniuliza michuano ya soka kwa nchi za Bonde <br />
la Mto Nile ina madhumuni gani, nitakwambia ni kuinua soka. <br />
Hilo ndilo jibu langu na ndicho ninachokiamini,&quot; alisema.<br />
<br />
Alieleza kuwa mwaka huu mashindano hayo yamefanyika Misri, <br />
hivyo nafasi ipo wazi kwa nchi nyingine ambayo itakuwa <br />
tayari kuyaandaa na kamba Misri itatoa msaada wa karibu <br />
zaidi ili kuyafanikisha.<br />
<br />
<br />
<br />
NB: Mechi ya Stars leo J'tano inaanza saa mbili usiku,]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1293990780</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1293990780</guid>
<title>Yanga actions against JKT Ruvu</title>
<description><![CDATA[After a 1-0 win over Kenya’s AFC Leopards, Young Africans <br />
swing back in action this afternoon for a friendly against <br />
JKT Ruvu at the Uhuru Stadium.<br />
<br />
For Yanga, the match is part of their preparations for the <br />
second round of the Mainland Premier League and the Africa <br />
Confederation Cup.<br />
<br />
It will also serve as their last warm up ahead of this <br />
year’s Mapinduzi Cup championship opening tomorrow at the <br />
Amaan Stadium in Zanzibar.<br />
<br />
“Tomorrow’s friendly will also be part of the celebrations <br />
to usher in the New Year,” Yanga secretary general Lawrence <br />
Mwalusako said yesterday.<br />
<br />
“The absence of some of our key players who are with the <br />
national team will not be felt because those we expect to <br />
field in tomorrow’s match are equally good. Our fans should <br />
expect positive results,” Mwalusako said.<br />
<br />
But Yanga should not expect a win on a silver platter as <br />
JKT Ruvu, now under the tutelage of former Yanga player <br />
Charles Kilinda, have a formidable squad.<br />
<br />
In their last Premier League match, the army team forced <br />
Yanga to a barren draw at the Jamhuri Stadium in Morogoro.<br />
<br />
Meanwhile, it was all smiles for sacked Young Africans <br />
player Ali Msigwa yesterday when the Tanzania Football <br />
Federation (TFF) legal, ethics and players status committee <br />
instructed the Dar es Salaam club to pay him Sh7.2 million.<br />
<br />
Led by Alex Mgongolwa, the committee found Yanga leadership <br />
guilty of violating registration rules when it terminated <br />
its contract with the player.<br />
<br />
Mgongolwa said yesterday that the club will not be allowed <br />
to sign a new player until they pay Msigwa. He said their <br />
decision was in line with Fifa’s registration rules.<br />
<br />
“Our decision is final, Young Africans can not appeal. We, <br />
therefore, call upon them to honour our ruling,” Mgongolwa <br />
said.<br />
<br />
Msigwa had signed a four-year contract with Yanga. His <br />
fairly tale marriage with the club came to an abrupt end <br />
when the club leadership terminates the deal, saying he was <br />
not good enough to feature for the team.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1293635454</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1293635454</guid>
<title>Japanese grabs WBA title to set new record</title>
<description><![CDATA[Tokyo.Koki Kameda beat Venezuela's Alexander Munoz on <br />
Sunday to win the WBA bantamweight title and become the <br />
first Japanese boxer to win world titles in three weight <br />
divisions.<br />
<br />
&quot;My dad told me, 'Bantamweight's impossible.' But I've won, <br />
so what do you think now, dad?&quot; Kameda shouted after his <br />
victory.<br />
The bout at Saitama Super Arena was one in which Kameda <br />
showed he had become independent from his father Shiro, who <br />
has been banned from corner duties for life. It also <br />
highlighted his position as the central pillar of the three <br />
Kameda boxing brothers.<br />
<br />
When Kameda failed to defend his flyweight title in March <br />
this year, his father, whose license as a second had been <br />
suspended, unleashed a verbal tirade in protest against the <br />
decision. Afterwards, the Japan boxing commission revoked <br />
his license and the Kameda Boxing Gym ceased all operations <br />
for about a month.<br />
<br />
In spite of the setbacks Kameda pulled the gym along. He <br />
served as a second in September when his 21-year-old <br />
younger brother fought to defend his title for the first <br />
time, and in September he took over as president of Kameda <br />
Promotion (the company that manages the boxing brothers) <br />
from his father.<br />
<br />
&quot;I think there are various things I can do,&quot; he said. For <br />
the latest fight, he came up with promotional initiatives, <br />
preparing 500-yen seats in a bid to spark interest in <br />
boxing. <br />
<br />
To take part in Sunday's world title bout, Kameda decided <br />
to move up two weight categories, despite the risks <br />
involved. Looking back, his father commented, &quot;I was <br />
anxious about it. I've never been that angry before.&quot; But <br />
Kameda went ahead with the move.<br />
<br />
&quot;You never know when chance will arrive,&quot; the 24-year-old <br />
boxer said. &quot;This is both a goal and a new start. <br />
“The second chapter of Koki Kameda begins here.(AFP)  <br />
<br />
&quot;Williams started the game 5 of 5, including 3 of 3 on 3-<br />
pointers. He had 16 points by halftime, his only miss <br />
coming on a last-second driving layup that rolled off the <br />
rim.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1293386033</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1293386033</guid>
<title>Lakers' Artest announces winner of ring raffle</title>
<description><![CDATA[LOS ANGELES – Ron Artest has absolutely no regrets about <br />
giving away his Los Angeles Lakers championship ring to <br />
boost mental health awareness. In fact, it just encourages <br />
him to go out and get another ring.<br />
Artest announced the winner of the charity raffle for his <br />
ring late Saturday night at a club across the street from <br />
Staples Center, where the Lakers were trounced by the Miami <br />
Heat 96-80 in the NBA's Christmas showcase.<br />
The ring was won by Raymond Mikkael, a father of four from <br />
Hawthorne, Calif.<br />
&quot;It's a good feeling, because it got a lot of publicity, <br />
and that's cool,&quot; Artest said before taking on LeBron <br />
James. &quot;I'm glad we can start over now and do some more <br />
work with charities.&quot;<br />
Artest came up with the idea to give away his first NBA <br />
title ring after putting a spotlight on mental health by <br />
thanking his psychiatrist after Game 7 of the Lakers' <br />
triumph over Boston last June. While some laughed at <br />
another stunt by one of the NBA's biggest characters, <br />
Artest's candid declaration sparked an interest in <br />
normalizing mental health care, which snowballed into this <br />
unique charitable gift.<br />
And when he officially gives away the ring in a couple of <br />
weeks, Artest feels he'll be even more motivated to replace <br />
it with the Lakers, who are chasing their third consecutive <br />
title.<br />
&quot;I'm so anxious to get out at it again,&quot; Artest said. &quot;I <br />
get more fuel, I burn it all up. I'm motivated.&quot;<br />
Although he doesn't yet know the final figures, Artest's <br />
raffle has raised well over $500,000 for his Xcel <br />
University charity, which will work with high-risk youth on <br />
mental health issues. Artest said he already wrote his <br />
first $50,000 check from the proceeds to the charity.<br />
Artest sounds overwhelmed by the support, praising everyone <br />
from his teammates to the Lakers' fan base for <br />
participating in the raffle. Even Lakers coach Phil Jackson <br />
says he bought a few tickets, praising Artest's strategy to <br />
funnel the money directly into a charity rather than <br />
through intermediaries.<br />
The Lakers' rings from the franchise's 16th championship <br />
contain a piece of the ball used in Game 7 against the <br />
Boston Celtics. The ring also has a circumference of 16 <br />
oversized white diamonds representing the Lakers' titles, <br />
along with two championship trophies made of 16-karat gold. <br />
On one side of the ring is a three-dimensional likeness of <br />
the player receiving it.<br />
Artest hasn't satisfied his taste for unorthodox gestures <br />
of charity: He also recently said he would like to donate a <br />
huge chunk of his $6.79 million salary for next season to <br />
mental health charities.<br />
That desire might be a bit tougher to fulfill in today's <br />
economy, however. Artest said Saturday that his only <br />
Christmas wish was for &quot;a tax break directly from Obama&quot; <br />
because of the high cost of his lifestyle with his wife and <br />
children.<br />
&quot;Unfortunately, diamonds are a girl's best friend,&quot; Artest <br />
said.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1291770898</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1291770898</guid>
<title>South African afro-pop raids Dar es Salaam today</title>
<description><![CDATA[DAR ES SALAAM revellers will be called to a sensational <br />
groove dance today, when South African afro-fusion group <br />
takes to the stage with their famous musical magic. <br />
<br />
The group comprising a mixture of talented and diverse <br />
musicians from South Africa, Mozambique and Zimbabwe led by <br />
renowned drumist Peter Cohen and rhythm maestro Zolan <br />
Mahola. <br />
<br />
Although hailing from diverse backgrounds, the group has <br />
cut a niche with their individual musical magic that is <br />
highly infectious and undeniably groovy, exuding live <br />
performance energy that has been the bedrock of their <br />
success. <br />
<br />
A statement released in the city and made available to the <br />
‘Daily News’ described the group as a truly afro-pop band, <br />
whose magical touch on stage exudes a real scenery of music <br />
as made in Africa. <br />
<br />
Read part of the statement: “It’s about time an Afro-pop <br />
band brings some of Africa’s magical music to the world, <br />
defying musical stereotypes and most importantly bridge <br />
historical divides. It will be a performance that truly <br />
radiates the essence of African afro-bits. ” <br />
<br />
The band was formed in 2007 consists the diminutive but <br />
dynamic Zolani Mahola with an experienced rhythm section of <br />
Peter Cohen (drums), Josh Hawks (bass), complimented by <br />
guitarist Julio Sigauque, Seredeal Scheepers (keyboard), <br />
Simon Attwell (flute, mbira, sax and harmonica) and Kyla <br />
Rose Smith (violinist). <br />
<br />
However, the group’s debut album Jika Jika was released <br />
four years before, and the success was terrific, thus <br />
cementing the group’s firm position in South Africa’s afro-<br />
music industry. <br />
<br />
As the group prepares to raid Dar es Salaam market, <br />
revelers will have to expect more fresh hits including the <br />
most famous 2007 hit song Ma Cheri that sold 80,000 units <br />
in South Africa alone.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1291770850</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1291770850</guid>
<title>Ivory Coast, Ethiopia in semis</title>
<description><![CDATA[IVORY Coast and Ethiopia will face off in the first <br />
semifinal of the Cecafa Tusker Challenge Cup Friday after <br />
the two sides won their respective quarterfinal ties <br />
against Malawi and Zambia at the National Stadium in Dar es <br />
Salaam on Tuesday. <br />
<br />
Sexy Ethiopia cruised into the semifinals with a <br />
comfortable 2-1 win over 10-man Zambia in the first <br />
quarterfinal, attended by a handful spectators following <br />
Cecafa’s decision to restore entrance fees. <br />
<br />
A deflected Tesfaye Alebachew’s header in the 18th minutes <br />
and a wonderful strike by Omod Okwury six minutes later <br />
killed off Zambia after just 24 minutes. <br />
<br />
Felix Sunzu gave Zambia, who had a Thomas Nyirenda sent off <br />
after 36 minutes, a lifeline shortly before the hour mark, <br />
but the goal proved nothing but a consolation for the <br />
chipolopolos who were second best for most part of the <br />
game. <br />
<br />
It was a flamboyant victory for the Horn of Africa boys, <br />
who had been given a slim chance of getting this far at the <br />
start of the tournament. <br />
<br />
Zambia expectedly opened brightly with Felix Sunzu going <br />
close twice in the opening exchanges. <br />
<br />
He first, fired a stunning effort just wide in the 11th <br />
minute, and then had his shot from a <br />
close range blocked to an abortive corner kick. <br />
<br />
Ethiopia’s chances had been limited but they served notice <br />
of their attacking threat when Shemeles Bekele Godo and <br />
then Yered Zinabu managed to storm into their opponents’ <br />
box, only to be denied by Zambia’s excellent defending. <br />
<br />
Having resisted Zambia’s early advance, the Ethiopians <br />
surprised their opponents when Alebachew’s header from <br />
Okwury’s corner was deflected into the back of the net by a <br />
chipolopolo defender. <br />
<br />
Okwury doubled Ethiopia’s lead in the 24th minute with well <br />
taken shot from just inside the 18-yard box, connecting <br />
Daniel Dereb’s inviting cross from the right flank. <br />
<br />
Zambia skipper Mulenga Nyamba had a goal disallowed as he <br />
was judged to have pushed his marker before he nodded <br />
Kennedy Mudenda’s free-kick past Jemal Bushera. <br />
<br />
Ethiopia took confidence from their two-goal lead and <br />
enjoyed a spell of possession that saw them end the half on <br />
top. <br />
<br />
Zambia’s misery compounded when referee Ali Kalyango from <br />
Uganda sent off Nyirenda for a second bookable offense, and <br />
moments later Zinabu went close to add the third goal, with <br />
his drive narrowly missing the target. <br />
<br />
Ethiopia maintained their sense of momentum after the <br />
break- Shemeles just failing to pounce on a Okwury’s cross, <br />
and Abebaw Butako drawing fine save from Raja Kola. <br />
<br />
Despite playing with a man down, Zambia pushed forward in <br />
numbers, whenever they had possession and succeeded to pull <br />
one back when Sunzu high ball from deep the right flank <br />
beat Bushera to the far post. <br />
<br />
In the second quarterfinal, Ivory Coast left it out to beat <br />
Malawi 1-0 and set up a semi-final match up with Ethiopia. <br />
<br />
Any lingering doubts to how the tie could be settled were <br />
dispelled when Kipre Tchetche scored a fabulous goal in the <br />
80th minute to send the Elephants through.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1290085168</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1290085168</guid>
<title>Dar All Stars Waanza Kujifua Neshno Tayari Kupambana Na Zanzibar Heroes</title>
<description><![CDATA[KAMPUNI ya Vanedrick Tanzania Limited imeandaa tamasha <br />
maalum kwa ajili ya kumpongeza rais Jakaya Kikwete na <br />
wabunge wote wa mkoa wa Dar es Salaam. <br />
<br />
Tamasha hilo limepangwa kufanyika Novemba 21 kwenye uwanja <br />
wa Uhuru Dar es Salaam huku wachezaji mbali mbali wa Ligi <br />
Kuu wataunda timu ya Dar All Stars chini ya Jamhuri Kiwelu <br />
'Julio' na watashuka dimbani kumenyana na timu ya taifa ya <br />
Zanzibar 'Zanzibar Heroes'. <br />
<br />
Akitangaza kikosi kitakachoivaa Zanzibar Heroes Julio <br />
alisema makipa ni Ally Mustapha 'Bartez' na Ivo Mapunda <br />
wakati wachezaji wengine ni manahodha Jerry Tegete na Musa <br />
Hassan 'Mgosi' <br />
<br />
Wengine ni Fredy Mbuna, Juma Jabu, Haruna Moshi 'Boban' <br />
Rashid Gumbo, Ibrahimu Mwaipopo, Meshack Abel, Juma Seif, <br />
Salum Abubakari, Monja Liseki, Nsa Job, Pius Kisambale, <br />
Himid Mao, Amri Kiemba, Mohamed Kijuso, Adam Kingwande, <br />
Athuman Idd 'Chuji', Kelvin Yonda, Kally Ongala, Salum Sued <br />
na Ramadhani Chombo 'Ridondo'. <br />
<br />
<br />
Wakiongea mara baada ya kutangaza kikosi hicho manahodha wa <br />
timu hiyo Mgosi na Tegete waliwataka watu kujitokeza kwa <br />
wingi kwa kuwa wana imani mechi hiyo itakuwa na mvuto na <br />
pia wachezajji watafahamu uwezo wao.<br />
<br />
&quot;Ni mechi muhimu sana kwetu kwa kuwa kila mmoja atajua <br />
uwezo wake na pia ni nafasi nzuri kwa timu ya Zanzibar <br />
Heroes ambayo inashiriki Chalenji, mchezo huo utakuwa moja <br />
ya maandalizi yao na watajua makosa yao na kuyarekebisha <br />
kabla ya mashindano ya Chalenji yatakayofanyika Novemba <br />
27,&quot;alisema. <br />
<br />
Julio alisema kingilio katika mchezo huo ni shilingi 10,000 <br />
kwa viti maalum, shilingi 8,000 jukwaa la kijani na <br />
shilingi 3,000 kwa mzunguko.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1287544107</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1287544107</guid>
<title>Arusha Swim Club harvests 8 gold medals</title>
<description><![CDATA[The newly formed Arusha Swim Club participated in their first <br />
Swimming Gala held in Dar-es-Salaam last weekend which saw the <br />
club’s swimmers put up an impressive performance and raking in Gold, <br />
Silver and bronze medals.<br />
<br />
The Tanzania Mainland Club Championships held on 9th October 9 at <br />
Funky's Club Dar-es-Salaam is a yearly event organized by the <br />
Tanzanian Swimming Association [TSA]. <br />
<br />
The event is a regional Club Competition with teams coming from Dar-<br />
es-Salaam, Mwanza, Zanzibar &amp; Arusha.<br />
<br />
The teams presented were Arusha Swim Club, Stingrays Swim Club. <br />
Tanzania Marine Swim Club, Hopac, Isamilo International School in <br />
Mwanza, UDSM Sharks and JKT Swim Club. The Swim Meet had a total of <br />
120 races for age categories ranging from 8 years and under up to 16 <br />
years of age. Senior races were also included age 18 years and <br />
above.<br />
<br />
The Arusha Swim Club had 19 swimmers from schools within the Arusha <br />
Region ranging from the age of 8 years to 14 years.<br />
<br />
The team is coached by Ms. Brynne Gilmore and Mr. Samwel Shepa.<br />
<br />
As a first time entrant, the Arusha Swim Club performed <br />
exceptionally well bringing back home 8 Gold Medals; 12 Silver <br />
Medals; and 12 Bronze Medals. The Club came third place for the <br />
junior division out of 7 participants.<br />
<br />
Outstanding performances were made by Amal Bulengo and Josephine <br />
Oosterhius. Amal Bulengo, in the 8 and under age category, won 4 <br />
gold Medals and broke three national records for the 25 Meters <br />
Backstroke ; <br />
Breast-stroke and Freestyle. Josephine Oosterhius won 3 gold Medals <br />
and broke the National Record for 50 Meters breast-stroke. Other <br />
shining performances were by Roos De Raadt who obtained 1 Gold Medal <br />
and 3 Silver Medals as well as Bo Boner who collected 3 Bronze <br />
Medals.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1287331474</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1287331474</guid>
<title>Fifa's World Cup debt trail</title>
<description><![CDATA[Johannesburg - Fifa is facing a string of legal suits in <br />
South Africa for nearly R1bn in unpaid debts for services <br />
provided before and during the World Cup.<br />
<br />
The world soccer governing body has not paid about R240m <br />
for the buses that transported spectators and the security <br />
supplied by police after private security firms pulled out <br />
of the games over pay demands.<br />
<br />
Host cities are also threatening to sue for unpaid bills <br />
amounting to more than R500m for work Fifa allegedly <br />
demanded be done around stadiums.<br />
<br />
And last week, top executives from the SA Football <br />
Association (Safa) went cap in hand to Fifa's headquarters <br />
in Zurich, Switzerland, asking for about R60m used to buy <br />
hospitality packages.<br />
<br />
This comes three months after the end of Africa's first <br />
World Cup, which was held in June and July.<br />
<br />
Transport parastatal Passenger Rail Agency of SA (Prasa) <br />
entered into a R174m agreement with Fifa's Match <br />
Hospitality for the provision of buses to transport fans.<br />
<br />
Now Fifa faces a R148m lawsuit over the unpaid transport <br />
bill.<br />
<br />
According to Prasa, Fifa was expected to settle the bill by <br />
August 31, but has so far only paid R26m.<br />
<br />
Prasa spokesperson Nana Zenani said the entity &quot;formally <br />
asserts that the matter is in the hands of its legal team&quot;.<br />
<br />
Zenani would not comment on the agency's next move.<br />
<br />
Prasa subsidiary, bus operator Autopax, acquired 570 new <br />
buses for R1.4bn for the World Cup.<br />
<br />
Fifa spokesperson Pekka Odriozola said they wouldn't <br />
comment on the transport bill and referred enquiries to <br />
Match.<br />
<br />
Match legal adviser Veruschka September confirmed that it <br />
contracted Prasa to deliver a complete bus transportation <br />
solution for the benefit of Match's clients during the <br />
World Cup.<br />
<br />
Financial trouble<br />
<br />
September said Prasa had filed a claim against Match, which <br />
it is disputing in a private arbitration forum.<br />
<br />
However, the police ministry has ruled out a legal <br />
challenge to force the Local Organising Committee (LOC) to <br />
settle the R90m bill for securing Ellis Park and Soccer <br />
City in Johannesburg, Cape Town's Green Point and Moses <br />
Mabhida Stadium in Durban.<br />
<br />
About 1 300 police officers, mainly trainees, were called <br />
to secure the stadiums after Stallion Security guards <br />
protested over low wages.<br />
<br />
&quot;There are no intentions for legal pressure or litigation <br />
to settle the matter because we're confident it will be <br />
settled,&quot; said police ministry spokesperson Zweli Mnisi.<br />
<br />
Mnisi said the department's engagements with the LOC &quot;were <br />
ongoing, open and mutual&quot;.<br />
<br />
Last month, police minister Nathi Mthethwa told Parliament <br />
the bill was sent to the LOC but police had used their own <br />
budget to pay officers.<br />
<br />
Meanwhile, Safa president Kirsten Nematandani and chief <br />
executive Leslie Sedibe travelled to Zurich last week to <br />
ask for reimbursement, arguing that the association would <br />
not ordinarily have spent the money had it not been for the <br />
World Cup.<br />
<br />
Nematandani said Safa bought the tickets under the <br />
impression that it would receive the profits of World Cup <br />
ticket sales.<br />
 <br />
But Fifa and Safa have since agreed to open a trust account <br />
for the windfall that will be channelled towards <br />
development programmes.<br />
<br />
The move to ask Fifa to pay the R60m was seen as an <br />
indication that the association was in financial straits.<br />
<br />
But Nematandani denied this.<br />
<br />
&quot;If we were broke, we would have closed shop a long time <br />
ago and would not have been able to send Bafana to Sierra <br />
Leone on a chartered flight and our national under-23 team <br />
to Iran,&quot; he said.<br />
<br />
He added that Fifa had agreed to give Safa the 37 sponsored <br />
buses that carried national teams to the games.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1286802136</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1286802136</guid>
<title>Breeeking Neewwz:Florian Kaijage Apigwa Chini Tff</title>
<description><![CDATA[Shirikisho La Mpira wa Miguu nchini (TFF) limemsimamisha <br />
kazi afisa habari wake, Florian Kaijage (pichani) kutokana <br />
na fedheha ya kushindwa kutimiza itifaki muhimu ya kupiga <br />
nyimbo za taifa wakati wa mechi ya Taifa Stars na Morocco <br />
jumamosi jijini.<br />
<br />
Rais wa TFF, Leodegar Tenga amewaambia waandishi wa habari <br />
jijini leo kuwa tukio hilo ni la aibu mbele ya Rais Jakaya <br />
Kikwete, mashabiki na wageni wengine na mbaya zaidi kwa <br />
vile mchezo huo ulionyeshwa katika luninga ndani na nje ya <br />
nchi, hivyo aibu hiyo imeshuhudiwa na wapenzi wa soka kote <br />
duniani.<br />
<br />
Amesema TFF imemua kumwajibisha Kaijage kwa kuwa ndiye <br />
aliyekuwa amepewa jukumu la kusimamia jambo hilo. Aidha <br />
alisema wakati amesimamishwa kaijage ataisaidia timu <br />
itakayoundwa kuchunguza jambo hilo na kuongeza kuwa hatua <br />
zitachukuliwa kwa yeyote Yule atakayebainika kuhusika kwa <br />
tukio hilo.<br />
<br />
Amesema jambo hilo halikustahili kutokea kwa kuwa <br />
liliishawahi kutokea wakati wa mchezo na Brazil ambapo <br />
safari hii wahusika walipewa jukumu la kuhakikisha kuwa <br />
wanazijaribu nyimbo zote siku mbili kabla ya mchezo na <br />
kuhakikisha kuwa hakuna hitilafu yoyote na wahusika <br />
walimuhakikishia kuwa hakutatokea dosari yoyote.<br />
<br />
“Kushindwa upigaji nyimbo za taifa ni upungufu mkubwa <br />
kiutendaji na kama nilivyosema hapo awali ni aibu kwa taifa <br />
letu, napenda kwa niaba ya tff kuomba radhi kwa Mheshiwa <br />
Rais, wapenzi waliofurika uwanjani, Watanzania kwa jumla na <br />
wageni wetu kutoka Morocco” alisema tenga.<br />
<br />
Alisema kuanzia sasa, hata kama mitambo ya uwanjani ni <br />
mizima, patakuwepo bendi za police/jeshi ama mitambo ya <br />
tahadhari kwa ajili ya nyimbo za taifa na matangazo mengine <br />
muhimu.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1286502226</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1286502226</guid>
<title>Mafuru, Kidunda waing'arisha Tanzania Madola</title>
<description><![CDATA[BAADA ya siku mbili za matokeo mabaya, mabondia Seleman <br />
Kidunda na Nasser Mafuru wameweka hai matumaini  ya <br />
Tanzania kusaka medali kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola <br />
inayoendelea nchini India.<br />
<br />
Katika pambano lililofanyika juzi usiku, Seleman Kidunda <br />
alimchapa Musa Ngozo wa Swaziland kwenye pambano la uzani <br />
wa kati (kg 75 ), ambapo mwamuzi ilibidi aingilie kati na <br />
kusimamisha pambano baada ya kuona Ngozo amezidiwa. <br />
<br />
Raundi ya kwanza ya pambano hilo Ngozo aliongoza kwa pointi <br />
5-4, lakini raundi ya pili Kidunda alibadilisha kibao na <br />
kushinda kwa pointi 4-3, pia katika raundi ya tatu Kidunda <br />
pia alishinda kwa pointi 8-2.<br />
<br />
Naye Nasser Mafuru, jana alimchapa kwa pointi 6:1 Andrew <br />
Opugu wa Papua New Guinea kwenye pambano la uzani mwepesi <br />
(kg60 ).<br />
<br />
Katika pambano hilo, Mafuru ambaye amekuwa akiiwakilisha <br />
Tanzania kwa muda mrefu sasa alishinda raundi zote tatu, <br />
ambapo kwenye raundi ya kwanza alishinda kwa pointi 2-0, <br />
raundi ya pili pointi 2-0 na raundi ya tatu kwa pointi 2-1.<br />
<br />
Akizungumza na Mwananchi kwa simu kutoka New Delhi, mmoja <br />
wa washindi, Seleman Kidunda alisema kuwa huo ni mwanzo wa <br />
ahadi aliyoahidi  kabla ya kuondoka nchini ya kurejea akiwa <br />
bingwa wa medali ya dhahabu ya Jumuiya ya Madola katika <br />
ngumi.<br />
<br />
&quot;Kila mmoja ana wajibu wa kuwajibika ili kuipigania <br />
Tanzania na mimi pamoja na wachezaji wenzangu tulio huku <br />
tunatakiwa kujituma na kufanya vema ili kuiletea sifa nchi <br />
yetu.<br />
<br />
&quot;Hivyo, tunaendelea na mazoezi ya nguvu ili kujiandaa na <br />
mapambano  yanayofuata, hata wenzetu ambao bado hawajapanda <br />
ulingoni na imani watafanya vizuri na kushinda kama sisi <br />
ili kuweza kung'ara&quot;, alisema Kidunda.<br />
<br />
 Mkuu wa msafara wa Tanzania, Juliana Yasoda, alisema kuwa <br />
mabondia hao wameonyesha uwezo mkubwa tangu kuanza kwa <br />
mashindano hayo Oktoba 4 ambapo Tanzania ilianza kwa <br />
kufanya vibaya.<br />
<br />
&quot;Hii ni changamoto kwa wenzao ambao hawajacheza na <br />
waliofanya vibaya, kwani mabondia hawa wameweza kututoa <br />
kwenye aibu ya siku mbili ambapo tulikuwa tukitoka uwanjani <br />
vichwa chini.<br />
<br />
&quot;Naamini hata mwanariadha Damian Chopa atakayeshindana leo  <br />
(jana) saa mbili usiku ataiga mfano wa wenzake na hatimaye <br />
kufanya vizuri hivyo hivyo kwa wachezaji wote ambao bado <br />
hawajacheza ili kuweza kuingia fainali na hatimaye kuwa <br />
mabingwa katika michezo iliyosalia,&quot;alisema Yasoda. <br />
<br />
Michuano ya 19 ya Jumuiya ya Madola ilifunguliwa Oktoba 3 <br />
kwenye Uwanja wa Jawaharlal Nehru mjini hapa na kuanza  <br />
Oktoba 4 ambapo Tanzania ilitupa karata yake ya kwanza siku <br />
hiyo na kushindwa kufurukuta ambapo mwogeleaji Mariam Foum <br />
alishika nafasi ya nne na sita katika staili ya  <br />
breakstroke na freestyle, mita 50.<br />
<br />
Pia, wachezaji wa mpira wa meza waliondolewa katika <br />
mashindano hayo kwa kufungwa na Ghana na Malaysia wakati <br />
mwogeleaji Khalid Rushaka na mabondia, Sunday Elias na <br />
Hashim Simon walishindwa kung'ara na kutolewa mapema.]]></description>
</item>
<item>
<link>http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1286371151</link>
<guid isPermaLink="true">http://www.shwari.com/michezo/michezo.html?id=1286371151</guid>
<title>TFF YAFANYA KWELI ,SASA KUONA MECHI YA MOROCCO NA STARS KIINGILIO CHA CHINI KABISA NI TSH.5,000/=</title>
<description><![CDATA[BAADA ya kula za uso kwenye mechi ya Stars na Brazil, <br />
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limeshika adabu na <br />
kupunguza vingilio vyake vya mchezo wa Stars na Moroco <br />
utakaochezwa Jumamosi ijayo kuwania kufuzu kucheza fainali <br />
za mataifa ya Afrika mwaka 2012 nchini Gunea.<br />
<br />
Viingilo viivyotangazwa katika mpambano wa kuwania kufuzu <br />
kushiriki fainali za Mataifa ya Afrika(AFCON) ni pamoja na <br />
kile cha Sh 5,000 ambacho ni cha chini kabisa wakati kile <br />
cha juu ni Sh30,000.<br />
<br />
Kutangazwa kwa viingilio hivyo vinavyoonekana kuwa nafuu <br />
kwa wapenzi wengi wa soka nchini ni kutimia kwa ahadi <br />
aliyoitoa juzi jijini Dar es Salaam Raisi wa TFF Leodegar <br />
Tenga wakati wa uzinduzi wa kampeni za kuishangilia Taifa <br />
Stars aliposema wamepanga kutoa unafuu ili wananchi wengi <br />
waweze kujitokeza.<br />
<br />
Akitangaza viingilio hivyo,Afisa habari wa TFF Frolian <br />
Kaijage alisema kuwa kiingilio cha Sh 5,000 ni kwa wale <br />
watakaokaa jukwaa la kijani wakati kile cha Sh 30,000 ni <br />
kwaajili ya jukwaa maalum (VIP A).<br />
<br />
Kaijage alivitaja viingilio vingine kuwa ni Sh 7,000 kwa <br />
Jukwaa la Rangi ya Bluu,Sh10,000 kwa jukwaa la rangi ya <br />
machungwa wakati VIP C kiingilio kitakuwa Sh 15,000 na Sh <br />
20,000 kwa jukwaa la VIP B.<br />
<br />
Alisema kuwa tiketi kwaajili ya mpambano huo zitaanza <br />
kuuzwa kesho baada ya kumalizika kwa uhakiki utakaofanywa <br />
leo baina ya shirikisho hilo,Polisi na Usalama wa Taifa.<br />
<br />
Katika hatua nyingine Kaijage alisema kuwa waamuzi wa <br />
mpambano ambao wote wanatoka Mauritius wanatarajia kuwasili <br />
nchini kesho sambamba na kamisaa wa mchezo anayetoka Kenya.<br />
<br />
Aliwataja kuwa ni Sochurn Raji atakayekuwa mwamuzi wa kati <br />
wakati Bootun Balkrishina na Bally Vivian wakiwa ni <br />
wasaidizi na kamishaa Muhammad Imterazi.<br />
<br />
Katika hatuna nyingine Kaijage alisema kuwa msafara wa <br />
Morocco wenye jumla ya watu 40 unaojumlisha wachezaji na <br />
viongozi wa timu hiyo kutua nchini leo usiku saa 4.30 <br />
tayari kwa mchezo dhidi ya Stars.]]></description>
</item>
</channel>
</rss>
